Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wak...
Kwa muda mrefu, hakuna mke aliyejaliwa kupata nini?
{ "text": [ "Mtoto" ] }
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wak...
Mke yupi alishika mimba wa kwanza?
{ "text": [ "Wa kwanza" ] }
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wak...
Nani alikuwa na wivu kwenye familia?
{ "text": [ "Mke wa pili" ] }
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wak...
Mke wa kwanza alikuwa na afya njema kutokana na nini?
{ "text": [ "Kula chakula kilichopikwa" ] }
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wak...
Mke wa pili alipanga kumdhuru mke wa kwanza kivipi?
{ "text": [ "Kwa kumpikia chakula alichodhani kitamuua" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Nani alikuwa mjumbe
{ "text": [ "Mojo" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Mfalme Simba alitaka Mojo apeleke nini
{ "text": [ "Ujumbe" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Nani alimshauri Mojo kutopeleka ujumbe
{ "text": [ "Kobe" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Mojo alienda kwa jamaa yake anaitwa nani
{ "text": [ "Jimbi" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Kwa nini Mojo alikuwa anapiga kelele
{ "text": [ "Alitaka msaada kwa vile alitekwa nyara na kobe" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Ndege Mojo aliishi katika ufalme upi?
{ "text": [ "Baro" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Nani alikuwa mfalme wa Baro?
{ "text": [ "Simba" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Nani alikuwa rafiki ya ndege Mojo?
{ "text": [ "Kobe" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Jamaa yake ndege Mojo aliitwa nani?
{ "text": [ "Jimbi" ] }
2315_swa
Mojo na Kobe Hapo zamani, ndege aliyeitwa Mojo aliishi katika ufalme wa Baro. Kobe alikuwa rafikiye. Mojo alikuwa mjumbe na alisafiri mbali kupeleka jumbe. Siku moja, Mfalme Simba alimwita Mojo. Mfalme Simba alimtaka apeleke ujumbe wa maana kwa Jamaa yake, Smba Marara, aliyekuwa mfalme kwenye ufalme...
Nani alimwokoa ndege Mojo kutoka kwa mtego wa wavu?
{ "text": [ "Jimbi" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Kijiji kipi kilizungukwa na milima na misitu
{ "text": [ "Sinyaire" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Wasichana walienda msituni kutafuta nini
{ "text": [ "Kuni" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Taja mojawapo ya baadhi ya vitu walivyobeba wasichana
{ "text": [ "Upanga" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Nani aliwakanya wenzake kuzungumza
{ "text": [ "Apiyo" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Kwa nini Ajoh hamwamini bibi
{ "text": [ "Alidhani bibi alikuwa anawaonea wivu" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na nini?
{ "text": [ "Milima na misitu" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Nani huishi ndani ya misity hiyo?
{ "text": [ "Nyoka wengi" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Nani aliwahimiza wengine kuchukuwa meno ya Unyalego ya dhahabu?
{ "text": [ "Atieno" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Nani alipuuza onyo la bibi la kutochukua kitu chochote kutoka msituni?
{ "text": [ "Ajoh" ] }
2320_swa
Msitu wenye nyoka Kijiji cha Sinyaire kimezungukwa na milima na misitu. Nyoka wengi huishi ndani ya misitu hiyo. Wanakijiji walimwita Unyalego nyoka aliyekuwa mkubwa zaidi. Nyoka huyo aliwameza mbuzi na kondoo wakiwa wazima. Siku moja, Apiyo, Ajoh na Atieno walienda msituni kutafuta kuni. Bibi aliwaony...
Unyalego aliwalazimisha wasichana kufanya nini ili asiwale?
{ "text": [ "Waimbe wimbo bila kukosea" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Tekinolojia ni mfumo wa nini
{ "text": [ "Maendeleo" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Tekinolojia imewasaidia wanafunzi kusoma wapi
{ "text": [ "Mitandaoni" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Ni nani wamepata changamoto za mimba za mapema
{ "text": [ "Wanafunzi" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Ni nini imekithiri kwa kutumia njia za mkato
{ "text": [ "wizi" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Tekinolojia huchangia vipi kwa matokeo duni ya mitihani
{ "text": [ "Kwa matumizi mabaya ya tekinolojia" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Tekinolojia husaidia katika kufanya nini
{ "text": [ "utafiti" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Wanafunzi wanatumia nini kufanya hisabati
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Data inahifadhiwa ofisini kwa kutumia nini
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Ni nini inatumiwa kuonyesha picha iwapo wanafunzi ni wengi
{ "text": [ "Projekta" ] }
3056_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni mfumo wa maendeleo mbalimbali wa vifaa vinavyozinduliwa ili kurahisisha mambo tofauti tofauti. Mathlani, teknolojia imetuletea vifaa mbalimbali kama vile simu, tarakilishi na nyinginezo. Teknolojia imewarahisishia wanafunzi kusoma mitandaoni masomo...
Udororaji wa nidhamu umechangiwa vipi na tekinolojia
{ "text": [ "Wanatumia rununu na kompyuta kuangalia video za uchi" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Teknolojia huharakisha nini
{ "text": [ "kazi" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Nini huonyesha mambo yanayotendeka
{ "text": [ "televisheni" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Walimu hutumia karatasi ngapi kwa darasa moja
{ "text": [ "sitini na sita" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Nani hutumia mwalimu pesa kwa kutumia rununu
{ "text": [ "mwalimu" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Mbona wanafunzi husinzia darasani
{ "text": [ "kwa kuzungumza na marafiki zao karibia usiku mzima" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Teknolojia imeleta nini kwa watoto
{ "text": [ "madhara" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Kina nani wamesahau masomo
{ "text": [ "wanafunzi" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Mwanafunzi hana muda wa kudurusu mabuku wapi
{ "text": [ "nyumbani" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Teknolojia imeleta uvumbuzi wa nini
{ "text": [ "vifaa vya utabiri wa hali ya anga" ] }
3084_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni taaluma iliyoletwa na wanasayansi ili kuleta maendeleo au kurahisisha kazi nchini Kenya au duniani. Taaluma hii imeweza kuibua uvumbuzi wa vyombo kama vile televisheni, tarakilishi, redio, rununu na vingine vingi. Vyombo hivi vina faida zake na pia...
Kamera za CCTV zinapunguza tabia mbaya vipi
{ "text": [ "mtu anapoiba huonekana " ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Tekinolojia ni maarifa ya nini
{ "text": [ "sayansi" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Walimu wanatumia nini katika kurekodi data
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Utandawazi hutumiwa kufanyia nini
{ "text": [ "Utafiti" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Walimu hutumia nini kufundisha wanafunzi wakati wa likizo ndefu
{ "text": [ "Rununu" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Kwa nini tekinolojia haifai kwa wanafunzi
{ "text": [ "Wanatazama video zinazowadhiri kimawazo" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Tekinolojia ni maaarifa ya nini
{ "text": [ "Sayansi" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Wlimu wanatumia nini kuhifadhi na kurekodi data
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Wanafunzi wanatumiwa kazi ya ziada kwa kutumia nini
{ "text": [ "Rununu" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Video mbaya huathiri wanafunzi vipi
{ "text": [ "Kimawazo" ] }
3194_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA UPILI Teknolojia ni maarifa ya sayansi na matumizi yake hutumia mitambo, vyombo vya zana, katika viwanda, kilimo, ufundi au njia za mawasiliano. Teknolojia ni mfumo uliochangia pakubwa katika maendeleo ya kijamii. Hivi kwamba teknolojia imeleta maendeleo sana makubwa kati...
Kwa nini si vyema kwa mwanafunzi kutumia tekinolojia
{ "text": [ "Tekinolojia humpoteza mwanafunzi anapojisomea" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Tekinolojia inayowekwa katika matumizi ya nini
{ "text": [ "Vitu" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni nini inasaidia wanafunzi kufanya hesabu
{ "text": [ "vikokoto" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni nini husaidia kupata habari za nchi yao
{ "text": [ "Runinga" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni nini ilisaidia wakat wa korona
{ "text": [ "Simu" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Kwa nini wanafunzi wanakuwa wavivu wakifanya hesabu
{ "text": [ "Kwa kutumia kikokotoo" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni maariga gani yaliyowekwa kwa matumizi ya vitu
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni nini inawezesha wanafunzi kusoma kwa urahisi
{ "text": [ "Vikokotoo" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Wanafunzi wanatumia nini kusoma masomo tofautitofauti
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Wanafunzi wanatumia nini kutazama video chafu
{ "text": [ "Simu" ] }
3209_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa yaliyowekwa katika matumizi ya vitu. Teknolojia ina faida nyingi na pia ina madhara yake. Faida za teknolojia katika shule za Sekondari ni kama, wepesi wa elimu, Hii inajitokeza sana kuna elimu ya kisasa. Ambapo elimu merahisishwa kwa kutum...
Ni vipi wanafunzi wanakuwa wavivu kwa hisabati
{ "text": [ "Wanatumia kikokotoo kufanya hesabu badala ya kufikiria" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Ni nini inasaidia kujua kinachoaendelea nchini yetu
{ "text": [ "Runinga" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Ni nini imefanya kazi kuwa rahisi
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Ni nini husaidia mawasiliano baina ya walimu na wanafunzi
{ "text": [ "Simu" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Usagaji unaletwa na nini
{ "text": [ "Kutazama video za ngono" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Ubakaji shuleni unaletwa na nini
{ "text": [ "Pigia watu wasiostahili simu" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Ni nini inasaidia kwendesha masomo kwa haraka
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Nini husaidia wanafunzi kujua kinachoendelea katika nchi yetu
{ "text": [ "Runinga" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Mawasiliano baina ya mwalimu na mzazi yanatumia nini
{ "text": [ "Simu" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Wanafunzi wanaenda katika chumba cha tarakilishi na kukosa kufuata nini
{ "text": [ "Maagizo" ] }
3211_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknologia ni mfumo mpya ulioibuka baada ya mambo ya kale katika shule za sekondari, teknologia imesaidia sana kuendesha masomo kwa haraka. Kwa mfano, utumiaji wa tarakilishi shuleni. Tarakilishi imefanya walimu kuitumia ilik kunog Fanya manafunzi waweze kuelew...
Kwa nini shule huweza kuchomeka
{ "text": [ "Kwa vile wanfunzi hawafuati maagizo" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Ni nini husaidia katika mawasiliano
{ "text": [ "Rununu" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Mitandao hutumiwa kuwaibia watu nini
{ "text": [ "Raslimali" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Ni nini hupotosha maadili
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Tekinolojia katika usafiri una madhara gani
{ "text": [ "Husababisha ajali" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Ni vipi tekinolojia ni muhimu katika utengenezaji wa vyakula
{ "text": [ "Kwa kutengeza soda na vyakula tofauti" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Ni nini imeimarisha maisha
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Wanafunzi wanapotoka nini
{ "text": [ "Maadili" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Tekinolojia katika zahanati imeimarisha nini
{ "text": [ "Matibabu" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Ajali hewani nna majini huleta nini
{ "text": [ "Maangamizi" ] }
3215_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia in mfumo mpya uloibuka baada ya vyombo vya kale vya mawasiliano kutoweka. Teknolojía imeimarisha maisha ya watu wengi hapa nchini. Tukizungumzia vyombo vya mawasiliano, vya usafiri hasa na hospitali. Tukiangazia vyombo vya mawasiliano huwa na faida ya...
Kwa nini tekinolojia husababisha madhara kwa chakula
{ "text": [ "Kwa vile chakula hutengenezwa kwa kemikali" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Ni nini jina la Kitongoji
{ "text": [ "Bima" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kitongoji cha Bima paliishi mwanamwali anaitwa nani
{ "text": [ "Kipusa" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda nani
{ "text": [ "Wanaume" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kipusa alikata kamba baada ya muda upi
{ "text": [ "Mwezi mmoja" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kipusa angefanya nini kuepuka kifo
{ "text": [ "Angejisitiri na kuwaheshimu waume za watu" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Katika kijiji cha Bima paliishi mwanamwali alijulikana kama nani
{ "text": [ "Kipusa" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Watu walimsifia Kipusa kwa sababu gani
{ "text": [ "Uzuri" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kipusa alikuwa na tabia ya kupenda nani
{ "text": [ "Wanaume" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Baada ya miezi ngapi Kipusa alikata kamba
{ "text": [ "Moja" ] }
3224_swa
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU Methali hii inamaanisha kuwa siku zote usiposikia wasia wa wakubwa wako mabaya yatakukumba. Methali hii inatumika kukanya watu dhidhi ya kutosikia mawaidha, wasikuje kujuta baadae maishani. Katika kitongoji cha Bima, palishi mwanamwali mmoja aliyeitwa Kipusa. Ama kweli Kipusa alifana...
Kwa nini ngono za ovyo ni hatari
{ "text": [ "Huleta mimba na maradhi" ] }
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaon...
Wanafunzi wanasoma kwa kutumia nini
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaon...
Tekinolojia imewafanya wanafunzi kuwa nini
{ "text": [ "Wajinga" ] }
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaon...
Wanafunzi wanatumia muda wao mwingi kusoma nini
{ "text": [ "Tarakilishi" ] }
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaon...
Mwanafunzi anatumia nini kufanya hesabu
{ "text": [ "Kikokotoo" ] }
3233_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOJIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Imebainika kwamba uvumbuzi wa teknolojia katika shule za sekondari umeleta madhara mengi kwa wanafunzi. Vilevile uvumbuzi huu wa teknologia una faida kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tukiangazia hasa uvumbuzi wa tarakilishi katika shule za sekondari, tunaon...
Tekinolojia inafanya wanafunzi wavivu kivipi
{ "text": [ "Wanakosa kufikiria mambo madogo" ] }