Dataset Viewer
Auto-converted to Parquet Duplicate
audio
audio
text
string
frequency
int32
source
string
16,000
kiswahili
Mithali za Sulemani,Mlango 1, Mithali za Suleimani
22,050
kiswahili
mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.Kujua hekima na adabu;
22,050
kiswahili
kutambua maneno ya ufahamu;kufundishwa matendo ya busara
22,050
kiswahili
katika haki na hukumu na adili.Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na hadhari;mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu,
22,050
kiswahili
na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.Kufahamu mithali na kitendawili,
22,050
kiswahili
na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.Mwanangu
22,050
kiswahili
yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako. Mwanangu,
22,050
kiswahili
wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.
22,050
kiswahili
Wakisema, Haya! Njoo pamoja nasi, Na tuvizie ili kumwaga damu;
22,050
kiswahili
Tumwotee asiye na hatia, bila sababu;
22,050
kiswahili
tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima,
22,050
kiswahili
kama wao washukao shimoni.Tutapata mali yote ya thamani, Tutazijaza nyumba zetu mateka.Wewe utashirikiana nasi;
22,050
kiswahili
Tutakuwa na vitu vyote shirika.Mwanangu, usiende njiani pamoja nao;
22,050
kiswahili
Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao. Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.Kwa kuwa mtego hutegwa bure,
22,050
kiswahili
Mbele ya macho ya ndege ye yote.Na hao hujiotea damu yao wenyewe
22,050
kiswahili
Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.Ndivyo zilivyo njia za kila mwenye tamaa ya mali; Huuondoa uhai wao walio nayo.
22,050
kiswahili
Hekima hupaza sauti yake katika njia kuu, Hutoa sauti yake katika viwanja;Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji
22,050
kiswahili
hutamka maneno yake.Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?
22,050
kiswahili
Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; Tazama, nitawamwagia roho yangu, Na kuwajulisheni maneno yangu.
22,050
kiswahili
Kwa kuwa nimeita, nanyi mkakataa; Nimeunyosha mkono wangu, asiangalie mtu; Bali mmebatilisha shauri langu,
22,050
kiswahili
Wala hamkutaka maonyo yangu; Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo; Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli,
22,050
kiswahili
Dhiki na taabu zitakapowafikia. Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.
22,050
kiswahili
Kwa kuwa walichukia maarifa, Wala hawakuchagua kumcha Bwana.Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.Kwa hiyo
22,050
kiswahili
watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza. Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.
22,050
kiswahili
Mlango wa 2.Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu,
22,050
kiswahili
Na kuyaweka akiba maagizo yangu;Hata ukatega sikio lako kusikia hekima, Ukauelekeza moyo wako upate kufahamu;
22,050
kiswahili
Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu;
22,050
kiswahili
Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;Ndipo utakapofahamu kumcha Bwana,
22,050
kiswahili
Na kupata kumjua Mungu. Kwa kuwa Bwana huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu;
22,050
kiswahili
Huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili; Yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu; Apate kuyalinda mapito ya hukumu, Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.
22,050
kiswahili
Ndipo utakapofahamu haki na hukumu, Na adili, na kila njia njema.
22,050
kiswahili
Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako;Busara itakulinda; Ufahamu utakuhifadhi.Ili kukuokoa na njia ya uovu,
22,050
kiswahili
Na watu wanenao yaliyopotoka;Watu waziachao njia za unyofu,
22,050
kiswahili
Ili kuziendea njia za giza; Wafurahio kutenda mabaya;
22,050
kiswahili
Wapendezwao na upotoe wa waovu;Waliopotoka katika njia zao; Walio wakaidi katika mapito yao.Ili kuokoka na malaya, Naam,
22,050
kiswahili
malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.Maana nyumba yake inaelekea mauti, Na mapito yake
22,050
kiswahili
yanakwenda kwenye wafu.Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja
22,050
kiswahili
Wala hawazifikilii njia za uzima.Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki. Maana wanyofu watakaa katika nchi, Na wakamilifu watadumu ndani yake.Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.
22,050
kiswahili
Mlango 3.Mwanangu,usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.Maana zitakuongezea wingi wa siku
22,050
kiswahili
Na miaka ya uzima, na amani.
22,050
kiswahili
Rehema na kweli zisifarakane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
22,050
kiswahili
Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu. Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
22,050
kiswahili
Katika njia zako zote mkiri yeye,
22,050
kiswahili
Naye atayanyosha mapito yako.Usiwe mwenye hekima machoni pako;
22,050
kiswahili
Mche Bwana, ukajiepushe na uovu.Itakuwa afya mwilini pako
22,050
kiswahili
Na mafuta mifupani mwako.Mheshimu Bwana kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako yote.
22,050
kiswahili
Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi, Na mashinikizo yako yatafurika divai mpya.Mwanangu,
22,050
kiswahili
usidharau kuadhibiwa na Bwana, Wala usione ni taabu kurudiwa naye.Kwa kuwa Bwana ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye.
22,050
kiswahili
Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.
22,050
kiswahili
Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.
22,050
kiswahili
Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.
22,050
kiswahili
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto. Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani
22,050
kiswahili
Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu ashikamanaye naye.
22,050
kiswahili
Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara;
22,050
kiswahili
Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.Mwanangu,
22,050
kiswahili
yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako,
22,050
kiswahili
Na neema shingoni mwako.Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama,
22,050
kiswahili
Wala mguu wako hautakwaa.Ulalapo hutaona hofu;
22,050
kiswahili
Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.Usiogope hofu ya ghafula, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.Kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako,
22,050
kiswahili
Naye atakulinda mguu wako usinaswe.Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, Ikiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda.Usimwambie jirani yako
22,050
kiswahili
Nenda, urudi halafu, na kesho nitakupa
22,050
kiswahili
Nawe unacho kitu kile karibu nawe. Usiwaze mabaya juu ya jirani yako, Ambaye anakaa karibu nawe na kujiona salama.
22,050
kiswahili
Usishindane na mtu bila sababu, Ikiwa hakukudhuru kwa lo lote.
22,050
kiswahili
Usimhusudu mtu mwenye jeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake. Maana mtu mkaidi ni chukizo kwa Bwana
22,050
kiswahili
Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.Laana ya Bwana i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki.Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema. Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha
22,050
kiswahili
Mlango 4.wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.
22,050
kiswahili
Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.Maana nalikuwa mwana kwa baba yangu,
22,050
kiswahili
Mpole, mpenzi wa pekee wa mama yangu.
22,050
kiswahili
Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.
22,050
kiswahili
Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau;
22,050
kiswahili
Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.Usimwache, naye atakuhifadhi;
22,050
kiswahili
Umpende, naye atakulinda.
22,050
kiswahili
Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam,
22,050
kiswahili
kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.Umtukuze,
22,050
kiswahili
naye atakukuza; Atakupatia heshima,
22,050
kiswahili
ukimkumbatia.Atakupa neema kuwa kilemba kichwani;
22,050
kiswahili
Na kukukirimia taji ya uzuri.Mwanangu,
22,050
kiswahili
sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.
22,050
kiswahili
Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio
22,050
kiswahili
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
22,050
kiswahili
Mshike, maana yeye ni uzima wako.Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya.Jiepushe nayo,
22,050
kiswahili
usipite karibu nayo, Igeukie mbali,
22,050
kiswahili
ukaende zako. Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara;
22,050
kiswahili
Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya jeuri.Bali njia ya wenye haki
22,050
kiswahili
ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.
22,050
kiswahili
Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.Mwanangu, sikiliza maneno yangu;
22,050
kiswahili
Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.Maana ni uhai kwa wale wazipatao,
22,050
kiswahili
Na afya ya mwili wao wote.Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.Kinywa cha ukaidi
22,050
kiswahili
ukitenge nawe, Na midomo ya upotovu uiweke mbali nawe.Macho yako yatazame mbele,
22,050
kiswahili
Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa. Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;Usigeuke kwa kuume wala kwa kushoto; Ondoa mguu wako maovuni.
22,050
kiswahili
Mlango 5.Mwanangu,
22,050
kiswahili
sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, mzisikie akili zangu;Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.
22,050
kiswahili
Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake
22,050
kiswahili
ni laini kuliko mafuta;Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.
22,050
kiswahili
Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake
22,050
kiswahili
ni za kutanga-tanga wala hana habari. Basi, wanangu, nisikilizeni sasa,
22,050
kiswahili
Wala msiache maneno ya kinywa changu.Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.
22,050
kiswahili
Usije ukawapa wengine heshima yako, Na wakorofi miaka yako;Wageni wasije wakashiba nguvu zako;
22,050
kiswahili
Kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni;Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho,
22,050
kiswahili
End of preview. Expand in Data Studio

Kiswahili Tts Dataset

Dataset Description

Kiswahili (Swahili) TTS dataset combining two sub-collections: (1) the 'A Kiswahili Dataset for Development of Text-To-Speech System' corpus (Kiswa-XXXXX studio recordings with Biblical and general-domain text), and (2) crowdsourced Swahili speech (swh_XXX recordings at 16kHz, studio quality). Covers topics relevant to East Africa.

Languages

  • Language: Kiswahili / Swahili (sw)
  • BCP-47: sw

Source tag

kiswahili — value of the source column in every row.

Dataset Structure

Column Type Description
audio Audio Raw WAV audio at original recording frequency
text string Transcription of the spoken content
frequency int Sample rate in Hz of the audio
source string Origin label (kiswahili)

Splits

Split Samples
train 11245

Related Work

Prepared in the context of East African speech technology research. See also the Sunbird AI SALT dataset — a multi-language parallel corpus covering Luganda, Acholi, Swahili, Runyankole, Lugbara, and Ateso, used as a benchmark for TTS/ASR in East Africa.

License

CC BY 4.0

Citation

@dataset{kiswahili_tts,
  author    = {Bateesa},
  title     = {Kiswahili Tts Dataset},
  year      = {2025},
  publisher = {HuggingFace},
  url       = {https://huggingface.co/datasets/Bateesa/kiswahili-tts-dataset}
}
Downloads last month
28