text stringlengths 9 2.8M | language stringclasses 7
values | genre stringclasses 25
values | source stringclasses 13
values | title stringlengths 0 156 | story_id stringlengths 1 56 | source_type stringclasses 2
values |
|---|---|---|---|---|---|---|
Eight stray elephants invade a village in Mariakani, Kilifi county, in search for water amid the biting drought; KWS officers on the ground working to handle situation.
Bolt taxi company is on the spot after a female passenger s hand was hacked in a scuffle with one of its drivers.
Wandani wa Ruto wamjibu Tuju
Kwenye m... | Tweet | Tweet | Tweet | SalimSwaleh | 2800 | tweets |
LEONARD ONYANGO: Makamishna wa IEBC wasisimamie zaidi ya uchaguzi mmoja
Kero ya stima kupotea bila notisi Zimmerman
VYAMA VYA KISWAHILI: Chama cha Kiswahili chuoni Laikipia ni jukwaa la uhakika katika makuzi ya lugha na vipaji
Huenda Ruto akafukuzwa Jubilee Party
Mifuko yatumika kama ushahidi wa mauaji ya wakili Kimani... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeo | 2801 | tweets |
Walinzi wa rais wamnyaka mwanamume akinyemelea jukwaani Lamu
Wabunge wandani wa Ruto wapokonywa walinzi, bunduki
Walinzi na wafuasi wa Bobi Wine wakamatwa, siku mbili kabla ya uchaguzi
Wito shule ziajiri walinzi wenye tajriba kuhakikisha usalama kipindi cha Covid
Mahakama yaamuru mbunge Alice Wahome arudishiwe walinzi
... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoAskari | 2802 | tweets |
DNA yaonyesha mjukuu wa Moi ndiye baba ya watoto anaopinga kuwalea
Je, Arsenal itadumisha mazoea yake ya kupoteza mechi ya kwanza kila msimu? 3. Rais Uhuru Kenyatta ana kibarua! Kuwashawishi vigogo wa OKA wamuunge mkono 'Baba' aingie Ikulu 2022. Itakuwaje? 4. Matiang'i sasa atafika Bungeni kufafanua kuhusu madai dhidi ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoBaba | 2803 | tweets |
Lukaku afunga bao lake la 67 katika mechi ya 100 ndani ya jezi ya Ubelgiji | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeobao | 2804 | tweets |
Dereva asimulia jinsi alivyookoa abiria basi lilipovamiwa na magaidi
Kadha wanusurika kifo baada ya basi kupoteza mwelekeo Thika Road
Zawadi ya basi kutoka kwa Ruto yazua utata Mlima Kenya
FATAKI: Ikiwa wewe bahili wa mali na moyo, basi mapenzi yatazidi kukuchenga
DINI: Matunda ya kesho yako kwenye mbegu za leo kwa hiv... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoBasi | 2805 | tweets |
Serikali kutafutia bandari biashara
Kaunti 10 za Mt Kenya kuondoa ada za biashara
AKILIMALI: Kujiamini kumemfanya awe hodari katika ufugaji-biashara
Bidco yazidi kupanua biashara zake barani Afrika
Bajeti 2021/2022: Biashara ndogondogo na za wastani, Juakali zatengewa mgao wa Sh10 bilioni
Serikali kujenga daraja la Sh2... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoBiashara | 2806 | tweets |
Serikali haijaruhusu uagizaji wa chakula chochote cha GMO Munya
Rashford ataka fedha zilizochangishwa na mashabiki kukarabati mnara wake zitumiwe kununulia wanafunzi chakula nchini Uingereza
Waathiriwa 800 wa mkasa wa moto na mafuriko katika wodi ya landimawe wapokea msaada wa chakula kutoka serikali ya kaunti ya Nairo... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoChakula | 2807 | tweets |
Atletico yakaribia kutwaa taji la La Liga baada ya Suarez kuokoa chombo chao mikononi mwa Osasuna
BBI: Kimya chao chazua hofu
Injera, Amonde matumaini tele kikosi chao cha SFX10 kitatwaa ufalme wa raga ya World Tens Bermuda
Vijana wanaojihusisha na kamari waitaka serikali isikie kilio chao
WAKILISHA: Kipaji chao ni kwa... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoChao | 2808 | tweets |
Cheza Ukipenda yateremka dimbani kukabili Country Bus... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoCheza | 2809 | tweets |
Heko Facebook kuzima akaunti za chuki Ethiopia
Wazee wakemea matamshi ya chuki
'Hakuna uhuru wa kuchapisha jumbe za mihemko na chuki'
Wabunge waliodaiwa kuchochea chuki waachiliwa
MBUNGE wa Starehe, Charles Njagua ameachiliwa kwa dhamana ya Sh500,000 pesa taslimu; alikanusha kutoa matamshi ya chuki na kuwabagua wageni ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoChuki | 2810 | tweets |
Wauguzi wagomea chanjo ya corona licha ya amri kali
Wataka kilio cha wauguzi kisikilizwe kabla BBI
Panyako awataka wauguzi kutokubali kutishwa bali waendelee na mgomo
Wauguzi Nairobi waendelea kugoma
COVID-19: Serikali kuwalinda wauguzi
ONYANGO: Wauguzi wawe na vifaa vya kujikinga na virusi
Wauguzi wataja nyenzo muhimu... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoDaktari | 2811 | tweets |
MARY WANGARI: Mfumo jumuishi kwa watoto wote utaokoa elimu Kenya
MAKALA MAALUM: Matunda ya elimu yamsukuma kuwa mtetezi sugu wa mabinti
Watoto 30 kutoka Mukuru wapata ufadhili wa elimu
TAHARIRI: Elimu si jukumu la serikali pekee
Wito EACC ichunguze maafisa wa elimu
EACC yagonga mwamba katika uchunguzi kuhusu vyeti feki... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoElimu | 2812 | tweets |
FAUSTINE NGILA: Usilie ughali wa mafuta, nunua gari la kielektriki
Mvutano mitandaoni baada ya Raila kutumia gari la serikali
Toyota Kenya kutuza mwanafunzi bora Sh500,000 katika uchoraji gari
Mwanamume apata majeraha kwa kugongwa na gari Thika Road
AKILIMALI: Hela anazorina kuuza dania, mbegu zake zilifanya auze gari ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoGari | 2813 | tweets |
TAIFA LEO JUMATATU 1. Raila ashindwa kukwea Mlima Kenya 2. Pigo kwa Raila na Ruto Pwani ikiunda chama kipya 3. Wavuvi wa Kenya kushtakiwa TZ leo Kwa hizi na habari nyinginezo, jinunulie nakala hapa
TAHARIRI: Wanaotoa chanjo watoe habari zote
TAIFA LEO JUMATATU: 1. Wimbi jipya mlimani; vyama 15 sasa vitakutana kesho kuj... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoHabari | 2814 | tweets |
DOMO KAYA: Kwa sasa nitagomea hiyo stori ya Tanasha
KASHESHE: Akanyagia stori kijanja
ANA KWA ANA: Stori yake ni kama telenovela
KIPENGO: Nataka kukupigia stori.
Wacha ibaki stori kwa sasa, kocha wa Gor Mahia...
Wacha ibaki stori kwa sasa, kocha wa Gor Mahia
Alicious arudi jikoni kuchemsha kibao kilichomtambulisha ili ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoHadithi | 2815 | tweets |
Hawana jipya hao, Mutua awasuta viongozi wa OKA
Matumaini Lionel Messi atatia saini mkataba mpya Barcelona baada ya Joan Laporta kuchaguliwa rais wa miamba hao wa La Liga
NDIO! HAPA WIZI TU : Zile fedha ambazo watu hao huwa wanapora kila siku zinazidi Sh2 bilioni. Watu hao ni bure! Wanataka kutwambia ooh, BBI itatumia ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoHao | 2816 | tweets |
Polisi mpakani wapepeta corona kwa hongo ya Sh2,000 | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoHongo | 2817 | tweets |
Hospitali yakiri kulemewa na wagonjwa wa corona
SHINA LA UHAI: Huduma mbovu katika hospitali za Kaunti zinavyoua wajawazito
Wito wagonjwa wa kawaida wazuru hospitali nyinginezo idadi ya wagonjwa wa Covid-19 ikiongezeka katika hospitali ya Tigoni
Hospitali ya Tigoni yatoa hewa ya oksijeni bure kwa wagonjwa
Hospitali mpy... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoHospitali | 2818 | tweets |
TAIFA LEO IJUMAA: Jipakulie nakala hapa | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoIjumaa | 2819 | tweets |
TAIFA LEO JUMAMOSI Jinunulie nakala hapa
TAIFA LEO Jumamosi. Jinunulie nakala hapa .
Karibu 'kijiweni' katika jarida la Pambo Jumamosi hii. Badala ya ugomvi chumbani, mwanamume anafaa kufanya nini? Pata ushauri katika gazeti la leo
Taifa Leo Jumamosi
TAIFA LEO JUMAMOSI
TAIFA LEO JUMAMOSI: Jinunulie nakala hapa
Taifa Le... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoJumamosi | 2820 | tweets |
Taifa Leo Jumanne
TAIFA LEO JUMANNE
Kila Jumanne kwenye jarida lako la Afya na Jamii ndani ya Taifa Leo, tunakupakulia makala kemkem kuhusu jinsi ya kukabiliana na magonjwa mbalimbali
TAIFA LEO Jumanne
Waziri atangaza Sikukuu Jumanne Waislamu wakiadhimisha Idd-ul-Adha
Taifa Leo Jumanne
TAIFA LEO JUMANNE Mei 25, 2021
AH... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoJumanne | 2821 | tweets |
TAIFA JUMAPILI, Agosti 29, 2021
TAIFA JUMAPILI Jinunulie nakala hapa
TAIFA JUMAPILI, Agosti 15, 2021
Katika TAIFA JUMAPILI kesho: 1. Polisi wageuka wanyama kipindi cha corona. Wameua watu 25 wakati wa kafyu... 2. Je, kunani mgeni wa Ruto kunyakwa na polisi wa kupambana na ugaidi?... 3. Yaibuka walimu wanamumunya hongo ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoJumapili | 2822 | tweets |
Makanisa yatoa onyo kuhusu ghasia 2022
Serikali yanyenyekea kuhusu amri kwa makanisa
Serikali yanyenyekea kuhusu amri kwa makanisa
Wanderi Kamau: BBI: Kimya cha makanisa kwa hakika chatamausha
ARVs: Makanisa yaunga usambazwaji wa haraka
Muungano wa makanisa chini ya mwavuli wa FEICCK walaani kitendo cha polisi kuvamia ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKanisa | 2823 | tweets |
Kesho katika Taifa Leo: 1. Corona sasa inafyeka maisha ya watu hadi vijijini. Je, idadi ya wananchi walioangamizwa na corona inayotangazwa kila siku ni ya kweli? 2. Kwa sasa Arsenal imesimama kileleni mwa jedwali la EPL, lakini kesho watavaana na Brentford kufungua msimu mpya
Malkia Strikers warejea uwanjani kesho dhid... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKesho | 2824 | tweets |
UMBEA: Kabla kuhukumu keti chini utathmini kwa nini alionja nje | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKeti | 2825 | tweets |
Kijana ajeruhiwa baada ya kushambuliwa na kiboko
Korti yacharaza Uhuru kiboko mara nyingine ikisema alipuuza Katiba
DOMO KAYA: Mtakuja kupigwa kiboko!
Adhabu ya kiboko shuleni yapingwa
TAHARIRI: Tusiwe na pupa ya kurudisha kiboko
Serikali sasa yapanga kurudisha kiboko shuleni
Himizo adhabu ya kiboko irejeshwe kukabili ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKiboko | 2826 | tweets |
CECIL ODONGO: Kifo cha BBI chaweka OKA hatarini zaidi 2022
Mbunge na abiria 30 wanusurika kifo ndege ikiharibika angani
Rais Suluhu, SADC waomboleza kifo cha waziri wa ulinzi wa TZ
Rais wa Mali anusurika kifo katika sala za Idd al-Adha
'Hakuna kifo kutokana na corona jana Jumatano'
Mhudumu wa bodaboda anusurika kifo kw... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKifo | 2827 | tweets |
Polisi wahoji kijana aliyekiri kuteka na kuua watoto 13
AKILIMALI: Kijana hodari wa uchoraji aliyejigundua kwenye makao ya watoto alikokulia
Kijana 'hasla' Evans Makokha amuuzia Naibu Rais William Ruto, kuku Sh5,000 wakati wa hafla ya Kanisa Indangalasia eneo la Matungu, Kaunti ya Kakamega. Picha/ Isaac Wale
DENNIS MUD... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKijana | 2828 | tweets |
Kocha Brendan Rodgers amtunuka sifa fowadi Jamie Vardy
Kocha Marcelo Bielsa arefusha muda wa kuhudumu kwake Leeds United
Atlanta yamtimua kocha Gabriel Heinze baada ya kusimamia mechi 13 pekee za MLS
Kocha aliyechagua kufunza uwanjani badala ya darasani
Harry Kane haondoki Spurs - kocha Nuno Espirito
Mashabiki wataka k... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKocha | 2829 | tweets |
Aunda programu za kompyuta kuifaa mikahawa
Aibu msafishaji kuiba kompyuta ya NMG
Mtoto wa miaka 13 ashangaza kuunda kampuni ya programu za kompyuta
TEKNOLOJIA: Watoto wa Mombasa wanavyounda programu za kompyuta
Matunda ya karakara si 'vifaranga vya kompyuta', Chiloba aambiwa na Wakenya mtandaoni
Watu sasa watumia simu ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeokompyuta | 2830 | tweets |
Watoto 88 wazaliwa Krismasi Eldoret
Wakazi wa Nairobi walia Krismasi imekuwa 'kavu'
Jinsi ya kuwepa wahalifu unapomumunya Krismasi
Wasichana wengi zaidi wakeketwa msimu wa Krismasi
Krismasi bila shangwe
Krismasi ya dhiki
TAHARIRI: Nuru ya Krismasi ni kuwajali wengine
Polisi zaidi watumwa kulinda Wakenya Krismasi
TAIFA ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoKrismasi | 2831 | tweets |
Wazee Kisumu wataka serikali iwarejeshee joka lao la Omieri
Brighton wapoteza penalti mbili nalo bao lao la utata dhidi ya West Brom likifutiliwa mbali na VAR
MWANAMUME KAMILI: Lau wangalijua utamu wa kuvivalia viatu chaguo lao!
BBI ni mradi wa kundi la wanasiasa ambao lengo lao kuu ni kutwaa mamlaka ya serikali na nch... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoLao | 2832 | tweets |
KINA CHA FIKIRA: Wakati ni sasa, tumia leo kutengeneza kesho yako
TAIFA LEO, Septemba 8, 2021
TAIFA LEO, Septemba 7, 2021
TAIFA LEO, Septemba 6, 2021
TAIFA LEO JUMAMOSI Jinunulie nakala hapa
TAIFA LEO IJUMAA: Jipakulie nakala hapa
Taifa Leo Septemba 2, 2021
TAIFA LEO JUMATANO
1. Hivi, umejua mo... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoLeo | 2833 | tweets |
Cheruiyot tayari kuonyesha bingwa wa Olimpiki Ingebrigtsen kivumbi Diamond League | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeOlimpiki | 2834 | tweets |
MBWEMBWE: Kiungo Di Maria ni mwenye guu la Almasi, ana magari na makasri ya kutisha | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMaGari | 2835 | tweets |
Maji ya mafuriko Mto Ngong yatatiza usafiri kati ya mitaa ya Kayaba na Hazina
NMS yafungua rasmi mradi wa maji uliokamilika sokoni Muthurwa
Ondoa chunusi usoni kwa kutumia maji ya mshubiri(Aloe vera).
Ondoa chunusi usoni kwa kutumia maji ya mshubiri(Aloe vera).
Moraa atesa mbio za mita 800 nchini Finland kinadada Waken... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMaji | 2836 | tweets |
Mtaalamu awaponda akina mama wanaodai wana maziwa kidogo
Mama aomba Korti imnyime dhamana mwanaume aliyewapiga polisi risasi
FAUSTINE NGILA:Akina mama washauriwe kuchangia uchumi dijitali
Akina mama washauriwe kuchangia uchumi dijitali
Mama mmoja amesimulia mahakamani jinsi alivyopata chooni mifupa ya mwanawe na mjukuu... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMama | 2837 | tweets |
CHOCHEO: Siri ya mapenzi yenye raha na yanayodumu
FUNGUKA: Mapenzi mtandaoni raha!
Douglas Mutua: Ndoa, talaka na fumbo linaloitwa mapenzi
MWANAMUME KAMILI: Ukipenda ama kupendwa jamani sichezee mapenzi!
Bintiye Keroche alikiri Lali alimpagawisha kwa mapenzi, nduguye aambia mahakama
Askofu aonya wanaume dhidi ya kutumi... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMapenzi | 2838 | tweets |
AKILIMALI: Mkulima hodari wa blueberries ajikakamua kuziba pengo la uhaba wa matunda hayo
Handisheki ni matunda ya uongozi mbaya - Mutua
Karakara ni matunda ya thamani na rahisi kuyastawisha
Mtaalamu aelezea kiini cha stroberi zako kukosa kuzaa matunda
Mikakati na mipango yangu kambini mwa Arsenal itaanza kuzaa matunda... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMatunda | 2839 | tweets |
Mkenya Mudibo achaguliwa naibu rais wa tenisi ya mezani Afrika, aahidi kuboresha mchezo Kenya na kote barani
Mkenya Mudibo achaguliwa naibu rais wa tenisi ya mezani Afrika, aahidi kuboresha mchezo Kenya na kote barani
DIMBA MASHINANI: Kigogo mchezo wa jadi usiobagua umri, hadhi
CHOCHEO: Kukataa mchezo wa huba ni kuhata... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMChezo | 2840 | tweets |
Kaizer Chiefs anayochezea Mkenya Akumu mguu mmoja fainali ya Klabu Bingwa
Jeraha la mguu kumnyima Jota fursa ya kuchezea Liverpool katika mechi mbili za mwisho wa msimu huu
Jeraha la mguu kumweka nje nahodha wa Aston Villa, Grealish, kwa mwezi mmoja ujao
Kane kusalia nje kwa muda mrefu baada ya kupata jeraha la kifundo... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMiguu | 2841 | tweets |
Ruto ainua mikono
TAIFA LEO Alhamisi. 1. Ruto sasa ainua mikono 2. Kenya yapata dhahabu ya kwanza Olimpiki 3. Meya wa zamani sasa ni mwanabodaboda Jipakulie nakala hapa
Real Madrid wakamilisha kampeni za msimu huu wa 2020-21 mikono mitupu
Bobi Wine sasa ainua mikono, amwachia Mungu
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msing... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMikono | 2842 | tweets |
AKILIMALI: Hivi viazi vitamu ni spesheli kwa njia moja muhimu: havina sukari!
Familia moja Gatuanyaga yaomba msaada baada ya jamaa wao kuuawa kinyama
Vijana waliofariki mikononi mwa polisi Embu kuzikwa kwenye kaburi moja
Kuna pilipili mboga za rangi tofauti, kila moja ina faida yake mwilini
KEG yatangaza tarehe za mjad... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMoja | 2843 | tweets |
Maporomoko yaua 23 mvua ikiponda jiji
Wavuvi washauriwa wawe waangalifu msimu wa mvua
Mvua yazua mafuriko na yaletea wakazi hasara
BENSON MATHEKA: Serikali itimize onyo la wataalamu kuhusu mvua
Serikali yaonya mvua yaja mwezi ujao kwa kishindo kikuu
Mvua ya mabao Everton wakidengua Tottenham kwenye raundi ya tano ya Ko... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMvua | 2844 | tweets |
Kocha wa Kenya Morans Liz Mills atuzwa mpira wa dhahabu kwa kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza timu ya wanaume AfroBasket | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMWanamke | 2845 | tweets |
Mwanaume ashtakiwa kwa ubakaji
MWANAUME KAMILI: Haiwezekani kushiriki uovu ukaepuka dosari!
Mwanaume (35) afariki baada ya kuburudika kingono na mjane (50). Alikuwa amemeza vidonge vya kuongeza nguvu
Mwanaume ahadaa majirani anazika paka, kumbe ni mwananwe!
Mwanaume avamia shule kwa nyundo na kujeruhi watoto 20
Mwanaum... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMWanamume | 2846 | tweets |
UMBEA: Hakuna mpenzi mzuri au mbaya inategemea tu ikiwa mnafaana
ULIMBWENDE: Mwonekano mzuri wa uso wa mwanawake
Mikutano ya uhamasisho BBI iwe na utaratibu mzuri - Karua
JUHUDI: Mkulima asema kukiwa na utaratibu mzuri, ni rahisi kujenga mabwawa
CHEBUKATI atorokwa na makamishna watatu. Makamishna Margaret Mwachanya, Co... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoMzuri | 2847 | tweets |
Mwanatenisi Okutoyi atupwa chini nafasi sita, anashikilia nambari 161 duniani sasa
Shujaa yaridhika nambari mbili Madrid 7s Lionesses ikivuta mkia
Tunaomba nambari yako ya simu kwa mawasiliano zaidi. Tuma hapa taifa.nationmedia.com. Shukran.
Kenya yapanda vikapuni kwa nafasi saba zaidi hadi nambari 115 kwenye orodha ya... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoNambari | 2848 | tweets |
BURUDANI: Berin Bosibori Koroso, msanii wa nyimbo za Rhumba na Zouk
BURUDANI: Larota aweka zingatio katika kuimba nyimbo za mawaidha kwa wanaume
Jowie Sasa Ageukia Usanii Wa Nyimbo Za Injili
Mwanamuziki nyota wa nyimbo za Country, Kenny Rogers afariki
Wabunge walivyoimba nyimbo za kusifu Nyayo bungeni
Jinsi Moi alivyoe... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoNyimbo | 2849 | tweets |
Auza nyumba ya babake akimdai Sh200,000
Mbunge atilia shaka nyumba za Buxton ujenzi wazo ukiendelea kucheleweshwa
Familia 100 zilizopoteza nyumba zao katika kisa cha moto South B hazijarudi makwao mwezi mmoja baada ya tukio
Familia 15 zalala nje baada ya nyumba kubomolewa usiku
Raia 104 wa Ethiopia watiwa mbaroni baada... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoNyumba | 2850 | tweets |
DPP Haji asema anaiangalia upya faili ya kesi ya mtoto Pendo ili kuwashtaki maafisa wanaohusishwa na kifo chake kwenye machafuko ya baada ya uchaguzi Agosti 2017
MAKAMANDA 6 walioongoza oparesheni ambapo mtoto Pendo aliuawa 2017, Nyalenda wapatikana na hatia ya kifo chake.
Makamanda waliochangia kifo cha mtoto Pendo Ki... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoPendo | 2851 | tweets |
Amerika yafungia Taliban pesa
Yaibuka Wizara ya Utalii imemumunya mabilioni ya pesa za umma
IEBC motoni kuhusu pesa za kampeni
FUNGUKA: Haja yangu pesa tu!
Wanachama 500 waliogura UDA wasema chama hicho kinajihusisha zaidi na shughuli za kutengeneza pesa na kufumbia macho matakwa yao
Pesa za wazee ziwafae wajane
Wadai ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoPesa | 2852 | tweets |
Madiwani wataka kupewa bunduki kupambana na polisi
Raila amtaka Mutyambai asafishe polisi kuondoa uozo
Kianjokoma: Polisi mahabusu waomba DPP azimwe
Polisi wasaka mshukiwa wa ugaidi aliyekwepa mtego wao
Polisi amuua mpenzi wa pembeni aliyelazwa hospitalini
Polisi sita wanaohusishwa na mauaji ya ndugu wawilli wa Embu wa... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoPolisi | 2853 | tweets |
Ongea kwa sauti yenye mamlaka basi
be kind
Sauti imetosha
Sam Soft - When Jesus Says Yes
Followers
Kusema sana sio kujua na kukaa kimya sio ujinga. Ni utambuzi wa mtu kujua ni nini kinastahili kusemwa na wakati gani na ktk mazingira gani. Ukimya waweza kuwa na sauti kubwa na kueleweka vyema.... Nazipinga sana tozo na k... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSauti | 2854 | tweets |
Uhuru, Raila wahudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Hichilema
Covid yalazimu baadhi kwenda Tz kwa sherehe
Covid yalazimu baadhi kwenda Tz kwa sherehe
Waislamu Kenya gizani kuhusu kuhudhuria sherehe za hija
Benson Matheka: Rais hakufaa kutumia sherehe kutishia mahakama
Mombasa yatoa kanuni za sherehe za Idd kuzuia maa... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSherehe | 2855 | tweets |
Wakosoa Magoha kutosajili shule
Shule yakosa kupata wanafunzi wa kidato cha kwanza
Covid-19: UN yarai mataifa kuanza kufungua shule zao
TAHARIRI: Suluhu yahitajika shule za sekondari
Wazazi wakiwa kwenye foleni katika benki ya KCB mjini Kakamega ili kulipia watoto wao karo wakati shule zikifunguliwa. Picha/ Isaac Wale
... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoShule | 2856 | tweets |
Taliban wawapa wanajeshi wa Amerika siku 7 waondoke
Serikali yapewa siku 7 kuzuia mgomo wa wahadhiri
Corona yavuruga mipango ya vikosi siku chache kabla ya kipute cha EPL kuanza
Siku 365 za kufa kupona
Lakini nakala ya kidijitali ipo tu. Kwa siku zilizopita. Unaweza kuipakua hapa
UMBEA: Siku hizi makahaba hawapo tena b... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSiku | 2857 | tweets |
Rais abadilisha simu baada ya jaribio la wadukuzi dhidi yake
Ruto apigia debe mgombeaji wa UDA Kiambaa kupitia simu
Je, unafahamu kuwa Kiswahili huzungumzwa katika mataifa 15 barani Afrika? Je, ni mara ngapi umejipata ukipimgia mwenzio simu kwa lugha ya Kiswahili? Bila shaka ni mara nyingi, lakini ni mara ngapi umemtum... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSimu | 2858 | tweets |
Kocha wa Kenya Morans Liz Mills atuzwa mpira wa dhahabu kwa kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza timu ya wanaume AfroBasket | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSoka | 2859 | tweets |
TAHARIRI: Spoti: Serikali iwazie miundomsingi zaidi
Wanahabari wa spoti wa NMG watwaa tuzo
Zack Kinuthia afichua kuhusu mpango wa Sh5.6 bilioni kukuza vipaji vya spoti mashinani
TAHARIRI: Kuwe na ari ya kufufua spoti
Kocha afutwa Valencia, naye mkurugenzi wa spoti ajiuzulu
TAHARIRI: Tutumie fursa hii kulainisha spoti
T... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSpoti | 2860 | tweets |
JAMVI: Sura za kikosi cha Ruto katika BBI
Uchafu Mto Ngong waharibu sura na sifa ya Nairobi
Hospitali ya Igegania Gatundu kupata sura mpya
Avuna kwa sura kama ya Uhuru
Sura mbili za Raila kuhusu masaibu ya Waiguru
Sura nne za Nyayo
Muungano wa vijana dhidi ya ukeketaji waanza kuibadilisha sura ya Isiolo
Hatujali sura y... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoSura | 2861 | tweets |
GoK... don't try us...Why can't you distribute immune boosters to Elderlies wether unwell or not..so that we know u av good intentions..msituchezee tafathari | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoTafadhari | 2862 | tweets |
Wavamiwa na nyuki baada ya kuiba mtungi wa gesi na televisheni
Wakenya wakerwa na mbunge kuzindua televisheni
Vituko vya ucheshi vimemfanya kuteka jicho na sikio la mashabiki wa televisheni kwa muda mrefu sasa. Siri ni nini na ana mpango upi wa siku za usoni? Bangaiza nasi kwenye Bambika Ijumaa hii
LEO MAHAKAMANI: Mwan... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoTelevisheni | 2863 | tweets |
Guardiola kuagana na Man-City 2023 akimezea ukocha wa timu ya taifa
Shevchenko aacha kazi ya ukocha katika timu ya taifa ya Ukraine
Kikosi cha Waterworks Kabete chajiimarisha licha ya kuwa miongoni mwa timu za jeshi zinazochipuza vipaji vya soka kwa kiota cha Ulinzi Stars
NDONDI: Timu ya taifa yaimarisha maandalizi ya ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoTimu | 2864 | tweets |
FAUSTINE NGILA: Toka mjini, uchumi wa kidijitali umefika vijijini
Mfumo wa kuinua uchumi bottom-up umetajwa kwenye Biblia Ruto
CHARLES WASONGA: Serikali ikubali wazo la ODM uchumi ufunguliwe
FAUSTINE NGILA: Toka mjini, uchumi wa kidijitali umefika vijijini
Dkt Ruto: Shida si Katiba, shida ni uchumi na viongozi
Ruto aig... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoUchumi | 2865 | tweets |
UDAKU: Usicheze na Georgina, mapambo yake pekee ni bei ya Toyota Prado mbili! | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoUdaku | 2866 | tweets |
Hakimu ashuku ipo njama kuchelewesha kesi ya ufisadi dhidi ya Jumwa
Aisha Jumwa ashindwa kushawishi mahakama iahirishe kesi yake ya tuhuma za ufisadi
Kesi za ufisadi: Haji ajitetea
Watakaofichua sakata za ufisadi katika idara za serikali kutunukiwa Sh2 - 5 milioni kila mmoja
DPP aagizwa kufichua ushahidi wa kesi ya ufi... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaleoUfisadi | 2867 | tweets |
Natembeya awatimua maafisa wa usalama
Serikali yakiri kudaiwa Sh16m za usalama wa baharini
Wanawake sasa walilia usalama katika kampeni
KINA CHA FIKRA: Kuteka watoto nyara ni unyama na hatari kwa usalama
Mary Wangari: Mageuzi katika sekta ya kilimo yazingatie pia usalama wa raia
Serikali kuhakikisha wakazi wa mitaa ya ... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoUsalama | 2868 | tweets |
Natembeya aagiza vituo vya pombe vifungwe kijijini Hodi Hodi, Nakuru kuzuia vifo na maafa zaidi
Vifo vinavyotokana na kufanya kazi kwa saa nyingi vimeongezeka duniani - WHO
Vifo 174 na mahangaiko Israeli ikizidi kuwalipua Wapalestina
Ajali ya mabasi mawili Kwa Shume yasababisha vifo vya si chini ya watu 14
Douglas Mutu... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoVifo | 2869 | tweets |
Baadhi ya wanasoka wa haiba kubwa waliowahi kuondoka katika vikosi vyao wakiwa wachezaji nguli kabla ya kurejea
Raila, Kalonzo wapeleka vita vyao Mt Kenya
Mabeki Maguire na Tierney kurejea katika vikosi vyao vya kwanza wakati wa mechi ya Euro kati ya Uingereza na Scotland
KAMAU: Viongozi wapalilie historia kwa kuandika... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoVyao | 2870 | tweets |
Mutua ataka wizara ikomeshe mtindo wa wanafunzi kufika shuleni mapema sana
Kamishna ataka serikali impe ndege ya kusaka wanafunzi | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWanafunzi | 2871 | tweets |
Wanasiasa watoroka mazishi ya Chidzuga kwa kuzuiwa kupiga siasa
Viongozi wa kidini wasuta wanasiasa kupepeta corona
Wanasiasa wakuu watatii kanuni au wataendelea kupepeta corona?
Mizozo ya wanasiasa yaua ziara ya Uhuru Ukambani
MAKALA MAALUM: Wanasiasa lawamani kwa kuwapa vijana mihadarati
WANASIASA WALIPUA MLIMA
Leona... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeowanaSiasa | 2872 | tweets |
DOMO KAYA: Wanaume twakwama wapi?
Matokeo mseto kwa Cereals Board handiboli, kina dada walimwa wanaume waking ara
Wanaume wa Kenya wajikwaa dhidi ya Nigeria voliboli ya Afrika ya ufukweni
Wanaume wahimizwa kuwajibikia vilivyo majukumu yao katika familia
Ronaldo avunja rekodi ya ufungaji wa mabao kwenye soka ya Euro kwa... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWanaume | 2873 | tweets |
Ni kisasi, vita vya ubabe kati ya Faith na Hassan fainali 1500m wanawake leo
China yavunja rekodi ya dunia kwenye uogeleaji wa 4x200m relay kwa upande wa wanawake
Wanawake saba wakamatwa kwa kutengeneza pombe haramu katika mtaa wa mabanda
MAKALA MAALUM: Mahangaiko tele ya kupata tiba yalazimu wanawake wa hapa kuwaendea... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWanawake | 2874 | tweets |
CF Montreal anayochezea Wanyama yang'ata Cincinnati Ligi Kuu ya MLS
Peter Wanyama: BBI: Uamuzi wa korti waweza kukosolewa
Nitajituma kufa kupona hadi Harambee Stars waingie Kombe la Dunia Qatar 2022 - Wanyama
Olunga, Johanna na Wanyama wafurahisha waajiri wao katika soka ya majuu
TAHARIRI: Serikali iige hisani yake Wan... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWanyama | 2875 | tweets |
Man-United wakomoa Leeds United na kutuma onyo kwa washindani wao wakuu EPL
Viongozi wa OKA wataka Moi ataliki Uhuru ajiunge na muungano wao
Washirika wa vigogo wasisitiza mwaniaji wao ndiye astahili
Polio: Wazazi wahimizwa kuwapeleka watoto wao kwa chanjo
West Brom wakataa ofa ya West Ham kwa ajili ya kipa wao raia wa... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWao | 2876 | tweets |
Msichana akiri kubadilisha vipimo vya mimba kuokoa aliyemnajisi
Mtahiniwa wa KCPE afa baada ya kujifungua, familia ya mtahiniwa mwingine yaomboleza baada ya msichana kuteleza darajani na kufariki
Mwalimu amkata mwenzake wakipigania msichana wa chuo
Msichana aliyefufuka avutia umati
Mwili wa msichana wapatikana bila mac... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWasichana | 2877 | tweets |
Watalii wafurika kupokea chanjo wenyeji wakisusia
Balala awaonya watalii watundu
WASONGA: Tufungulie watalii kutoka nchi za nje kwa uangalifu
Watalii wafurika Kenya kuona pundamilia wa kipekee
Ndani kwa kutumia bintiye kutapeli watalii
Afisa wa sensa anaswa kwa kuiba pombe ya watalii
BIASHARA YA UREMBO: Vipepeo wanavyo... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWatalii | 2878 | tweets |
Shule zakosa maji ya kupikia watoto
Mjukuu wa Moi akubali watoto aliokana awali
DCI yachunguza kisa cha watoto kufungwa | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWatoto | 2879 | tweets |
Kiunjuri abadilisha wimbo, sasa asakata Reggae ya BBI
Ruto aongoza wimbo akirejea kanisani kwa kishindo
Msanii Brother Nassir atunga wimbo wa mahadhi ya Kihindi kuangazia Covid-19
Huu wimbo wa Reggae kamwe haumlengi Ruto Raila
Kalonzo ageuza wimbo, asema hataki Waziri Mkuu mwenye mamlaka
JAMVI: Wimbo wa utachochea Wake... | Tweet | Tweet | Tweet | TaifaLeoWimbo | 2880 | tweets |
MWANGAZA WA CHEPALUNGU Msitu uliharibika baada ya machafuko ya uchaguzi 2007/2008 Miti ya kiasili iliyokuwa kwenye msitu huu ilikuwa imekatwa Juhudi zinafanywa kuuokoa na kurejesha nuru ya msitu huu
Mustakabali Wa OKA: Vinara na wanasiasa wa muungano huu wakutana Naivasha Mkutano unatarajiwa kupanga mikakati ya uchaguz... | Tweet | Tweet | Tweet | uchaguzi | 2881 | tweets |
Kilimo biashara: Nyuni wa mapambo wanafugwa kwa sababu ya urembo. Nyama na mayai ni ya kipekee huku ndege mmoja akigharibu shilingi 40,000, sharti idhini kutoka kwa KWS.
Walimbwende wa Trans Nzoia: Mashindano ya urembo. Malalamiko ya wanamitindo
Urembo wa jiji wamponza Sonko: Gavana ajipata pabaya alipohojiwa na masene... | Tweet | Tweet | Tweet | urembo | 2882 | tweets |
Vijana Wa ODM: Baadhi ya viongozi wa vijana wa ODM wataka Wafula Chebukati ajiuzulu Vijana wa ODM wadai mwenyekiti wa IEBC hayuko tayari kusimamia uchaguzi
MAPUUZA KUHUSU CORONA Viongozi wa kidini wakemea wanasiasa wanaofanya mikutano ya hadhara Muheria: Suala la matatu kubeba abiria 100% linaongeza maambukizi Kenya ya... | Tweet | Tweet | Tweet | viongozi | 2883 | tweets |
Mayatima Wapewa Ufadhili: Mayatima wanne waliokosa karo Mombasa wapewa ufadhili wa masomo Mwakilishi wadi wa Kaloleni Omar Ahmed na wahisani wawalipia karo Wazazi wa wanafunzi hao walifariki katika hali tatanishi Mombasa #SemaNaCitizen https://t.co/TNDgRDfKO2
Sodo kutoka polisi: Maafisa wa polisi watoa sodo kwa wa... | Tweet | Tweet | Tweet | wanafunzi | 2884 | tweets |
Washukiwa Wa Utapeli Wanaume 3 wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Narok Kaskazini Mwingine mmoja amefikishwa mahakamani kuhusiana na ulaghai Watu hao walikamatwa baada ya Benki ya Equity kuwasilisha malalamishi | Tweet | Tweet | Tweet | wanaume | 2885 | tweets |
Uzazi Bila Mpango: Wanawake zaidi ya 60% hawapangi uzazi katika kaunti ya Samburu Kina mama wafunzwa mbinu za kupanga uzazi kaunti ya Samburu Wazazi wengi wateseka kwa kushindwa kuwalea watoto wengi Samburu
Hamasisho Kwa Wanawake: Maafisa wa polisi Kisii wazuru maeneo ya vijijini kutoa hamasisho. Polisi watoa mafunzo k... | Tweet | Tweet | Tweet | wanawake | 2886 | tweets |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.