id
string
story_id
string
context
string
question
string
answer
string
paragraph_id
string
3830_swa_0
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Ni katika nchi ipi kilimo ni muhimu
Kenya
x
3830_swa_1
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Mifugo hutupa nini
mbolea
x
3830_swa_2
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Asilia kubwa ya wakenya wanapenda nini
Mahindi
x
3830_swa_3
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Ni aslimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni
80%
x
3830_swa_4
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Ni vipi kilimo hupunguza usafiri wa watu kutoka vijiini
Kwa vile watu watajipa kazi wenyewe
x
3830_swa_5
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Kilimo ni muhimu katika nchi gani
Kenya
x
3830_swa_6
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Mahindi huuzwa wapi
Ng'ambo na nchini
x
3830_swa_7
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Vipi maisha huweza kuimarishwa kupitia kwa kuku
Kwa kuuza mayai
x
3830_swa_8
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Kilimo ni muhimu katika nchi gani
Kenya
x
3830_swa_9
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Ni nini hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi
mifugo
x
3830_swa_10
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Kilimo cha nafaka gani ni muhimu sana
Mahindi
x
3830_swa_11
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Asilimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni ni zao la kilimo
80
x
3830_swa_12
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa...
Kwa nini wakulima wazingatie kilimo
Ili waweze kupata chakula
x
3213_swa_0
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Ni nini maarifa ya sayansi
Tekinolojia
x
3213_swa_1
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Wanafunzi wanasiliana na nini
E-mail
x
3213_swa_2
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Tekinolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu zipi
Za ngono
x
3213_swa_3
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Kwa nini tekinolojia ina hasara kwa wanafunzi
Wanafunzi hupoteza muda wakifanya mambo ya kiupuzi
x
3213_swa_4
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Walimu wanatumia nini kuwafunza wanafunzi
Mitandao
x
3213_swa_5
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Nchini wanafunzi wengi wanasoma somo lipi
Kompyuta
x
3213_swa_6
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Wnafunzi wanaweza kuwasilana kwa kutumia nini
E-mail
x
3213_swa_7
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Kwa nini wanafunzi wa sekondari huzorotesha masomo yao
Wanapoteza muda mwingi wakifanya mambo ya kiupuzi
x
3213_swa_8
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Tekinolojia imewezesha wanafunzi kutumia nini
Mitandao
x
3213_swa_9
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Shule za Sekondari wanafunzi wanafunzwa somo lipi
Kompyuta
x
3213_swa_10
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Tekinolojia inafanya wanafunzi waangalie filamu za nini
Ngono
x
3213_swa_11
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za tekn...
Kwa nini masomo ya wanafunzi huzorota
Wanafunzi wanatumia muda mwingi mtandaoni wakifanya mambo ya kipuzi
x
0189_swa_0
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Kilimo ni nini nchini mwetu?
Uti wa mgogo
x
0189_swa_1
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Kilimo kina umuhimu gani? ?
Hutoa nafasi za kazi Kwa wakuli, watu hupata vyakula
x
0189_swa_2
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Taja njia za kuimarisha kilimo
Kujenga vituo vya elimisha wakulima kuhusu kilimo, somo la lazima lifanywe lazima ili wakulima wajue njia za kilimo
x
0189_swa_3
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Kwa nini watu huhamia mjini?
Kutafita kazi
x
0189_swa_4
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Kilimo kina matatizo gani?
Uvivu wa watu kulima, kutojua mbinu za kisasa za kilimoza kilimo
x
0189_swa_5
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Ni nini uti wa mgongo wa nchi
Kilimo
x
0189_swa_6
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Taja neno lingine Sawa na kilimo
Zaraa
x
0189_swa_7
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Vituo vijengwe kuelimisha nani
Wakulima
x
0189_swa_8
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Wakulima wapande mimea inayostahili nini
Ukame
x
0189_swa_9
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Ta...
Kilimo kina matatizo gani?
Wakima kutojua mbinu za kisasa za kilimo
x
0191_swa_0
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Nani amelaani ufisadi
Musa
x
0191_swa_1
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani
wananchi
x
0191_swa_2
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Wavunja sheria wanapaswa watiwe wapi
mbaroni
x
0191_swa_3
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Viongozi wakipata misaada huwapatia nani?
watu wake
x
0191_swa_4
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Mbona askari hupewa hongo
ili asipeleke washtakiwa gerezani
x
0191_swa_5
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Ufisadi ulianza lini
kitambo sana
x
0191_swa_6
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Nani amelaani ufisadi katika Biblia
Musa
x
0191_swa_7
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani
wananchi
x
0191_swa_8
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Rwanda imechukua nafsi ya ngapi
hamsini na tano
x
0191_swa_9
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia m...
Mbona madaktari wafisadi wafutwe kazi
ili wafundishwe adhabu
x
0197_swa_0
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Shirika gani lilifanya uchungu I kuhusu namna ya kukabiliana na ufisadi
Transparency international
x
0197_swa_1
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Kenya ni taifa nambari ngapi ulimwenguni kupiga a na ufisadi
145
x
0197_swa_2
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Taifa gani limedorora katika Vita dhidi ya ufisadi
Kenya
x
0197_swa_3
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Taja Aina moja ya ufisadi
Kutoa na kukubabili rushwa
x
0197_swa_4
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Kwa nini baadhi ya wazazi hutoa rushwa
Ili watoto wao wopzte kazi
x
0197_swa_5
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Nini huzorotesha uchumi wa nchi?
Ufisadi
x
0197_swa_6
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Kubagua watu kutokana na rangi yao ni nini?
Ufisadi
x
0197_swa_7
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Ukabila unapatikana nchi gani?
Kenya
x
0197_swa_8
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Rwanda inapatikana eneo lipi la Afrika?
Mashariki
x
0197_swa_9
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi...
Ufisadi husababisha nini nchini?
Kuongezeka kwa viwango vya ufisadi
x
0225_swa_0
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Kulingana na taarifa waziri mkuu angekuwa na manaibu wangapi
Wawili
1
0225_swa_1
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Kwa nini serikali inapendekeza kubuniwe nafasi za waziri mkuu na manaibu wake
Haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa upinzani waliokumbatia handishake
2
0225_swa_2
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Ripoti ilipendekeza idumishe maeneo bunge na kaunti ngapi
Maeneo bunge 290 na kaunti 47
3
0225_swa_3
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Ripoti hiyo ilizinduliwa wapi
Katika jumba la Bomas, jinini Nairobi
5
0225_swa_4
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Kamati iliyosimamiwa na seneta haji ilitoa mapendekezo yapi
Kaunti zihimizwe kuunda miungano ya kimaeneo kukuza uchumi kwa hiari
4
0225_swa_5
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Ni wapi Naibu rais alikokutanana jumbe?
Sugoi, kaunti ya Uasin Gichu
1
0225_swa_6
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Jumbe lililopokelewa na Dkt Ruto linatoka eneo lipi?
Bonde la Ufa
2
0225_swa_7
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Dkt Ruto amekuwa akipokea jumbe kwa muda upi?
Kwa miaka mitatu iliyopita
3
0225_swa_8
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Dkt Ruto anatumia mikutano kujipigia debe kuhusiana na uchaguzi wa lini?
Uchaguzi wa 2022
5
0225_swa_9
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo...
Mbona jamii ya magharibi imeamua kusimama na Naibu rais?
Amedhihirisha kujali maslahi na ataifanyia mengi jamii akitwaa urais
11
0227_swa_0
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Ni nani anakabiliwa na wizi wa mamilioni ya pesa
Sonko
2
0227_swa_1
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Ni nani alikiri kuwa uongozi wa Sonko ni duni
Uhuru Kenyatta
4
0227_swa_2
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Idara za uchukuzi, afya, ujenzi na mipango zilichukuliwa na serikali gani
Kuu
5
0227_swa_3
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Kaunti za Kiambu, Kajiado na Machakos zinapakana na jiji lipi
Nairobi
11
0227_swa_4
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Nani aliwasilisha hoja ya kutaka kumtimua Sonko
Peter Imwatok
19
0227_swa_5
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Uhuru anataka kuvuruga mipango ya madiwani wa wapi
Nairobi
1
0227_swa_6
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Raisi alikiri kuwa uongozi wa Sonko ni nini
duni
4
0227_swa_7
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Mwanauchumi mashuhuri anaitwa nani
Dkt. David Ndii
11
0227_swa_8
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Raisi anafaa awache madiwani wa Nairobi wamtimue nani
Sonko
7
0227_swa_9
0227_swa
UHURU AJISALITI Hatua ya Rais Kenyatta kujaribu kuvuruga mpango wa madiwani wa Nairobi kumtimua Gavana Mike Sonko, imetajwa kuwa ishara ya kutojitolea kwake katika kupigana na ufisadi na pia kuhakikisha uongozi bora. Wadadisi wanasema kuwa jaribio hilo la kuwaomba madiwani wasimtimue Bw Sonko, ambaye anakabiliwa na kes...
Prof. Makau Mutua anasema kuwa Raisi Kenyatta hana nia ya kupambana na nini
Ufisadi
6
0232_swa_0
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Ni baraza lipi linawazia kwenda mahakamani
Magavana
1
0232_swa_1
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Ni nani mwenyekiti wa baraza la magavana
Oparanya
3
0232_swa_2
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Oparanya alisema wanatafuta ushauri kutoka mkuu yupi
Mwanasheria
5
0232_swa_3
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Ni kaunti ipi ambayo haijakuwa na naibu wa gavana
Nairobi
8
0232_swa_4
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Sonko amependekeza nani awe naibu gavana
Miguna
9
0232_swa_5
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Baraza za magavana linawazia kwenda wapi
Mahakamani
1
0232_swa_6
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Jaji gani alimfungia nje gavana wa Samburu
Mumbi Ngugi
2
0232_swa_7
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Mwenyekiti wa baraza la magavana anaitwa nani
Wyclife Oparanya
3
0232_swa_8
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Miguna amepangwa kurudi nchini mwezi upi
Januari
10
0232_swa_9
0232_swa
MAGAVANA KUPINGA UAMUZI KUFURUSHWA OFISINI BARAZA la Magavana linawaza kwenda mahakamani kupinga agizo ambalo huhitaji magavana kutoingia afisini wanaposhtakiwa kwa madai ya ufisadi. Agizo hilo lilianza kutolewa wakati Jaji Mumbi Ngugi alipomfungia nje Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal. Akizungumza Nairobi jana, Mwen...
Sonko anatarajiwa kushtakiwa kulumbana na nani
Polisi
11
0282_swa_0
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Kitito alizaliwa mwaka upi
1969
6
0282_swa_1
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Alianza masomo ya chekechea mwaka upi
1975
7
0282_swa_2
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Alijiunga na shule ya Msingi ipi
Mtopanga
8
0282_swa_3
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
1989 Kitito alijiunga na chuo kikuu kipi
Moi
10
0282_swa_4
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Mohamed na Onyango walimtia Kitito nini
Hamasa
11
0282_swa_5
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Ni kazi zipi zitawapa vijana njia mbadala ya kujipatia riziki
Mikono
1
0282_swa_6
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Usidhubutu kujenga nini kwa siku moja baada ya kudodoshwa mate na kasri la jirani
Nyumba
4
0282_swa_7
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Ni nani alizaliwa mnamo waka wa 1969 katika mtaa wa Floringi
Kizito
5
0282_swa_8
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Kizito alianza masomo yake ya chekechea katika shule ya msingi ipi
Tononoka
6
0282_swa_9
0282_swa
Dkt Khalid Omar Mohammed Kitito-mwalimu, mwandishi, mhadhiri na mtafiti wa Kiswahili. zaidi ya kuzamia taaluma zao mbalimbali ipo haja kwa vijana kujifundisha kazi mbalimbali za mikono. Hatua hii itawapa njia mbadala za kujipatia riziki hasa ikizingatiwa mabadiliko ya mara kwa mara katika mfumo wa maisha. Ukiona vyae...
Kizito alijiunga na chuo kikuu kipi mnamo mwaka wa 1989
Moi
9
2312_swa_0
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alian...
Wake wenza walikuwa wangapi
Wawili
x
2312_swa_1
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alian...
Mke wake wa kwanza alijifungua nini
mtoto
x
2312_swa_2
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alian...
Mke wa pili alimuwazia nini mke mwenza
Kifo
x
2312_swa_3
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alian...
Zamani watu walikula vyakula namna gani
mbichi
x
2312_swa_4
2312_swa
Mke-mwenza mwenye wivu Hapo kale kulikuwa na wake wenza wawili. Waliishi katika nyumba moja na mume wao. Kwa muda mrefu hakuna mke aliyejaliwa kupata watoto. Hatimaye, mke wa kwanza alishika mimba. Alipojifungua mtoto, mume wao hakuwa nyumbani. Mke wa pili aliwaonea wivu mke wa kwanza na mtoto wake. Alian...
Kwa nini mke wa pili alimuwazia kifo
Ili abaki mke wa pekee
x